PICHA ZA NABII HEBRON KATIKA MATUKIO MBALI MBALI.
NABII HEBRON AKIWA NA RAIS WAKE, RAIS WA TANZANIA JAKAYA MRISHO KIKWETE. NABII HEBRON KATIKA IBADA YA MAOMBEZI. NABII HEBRON AKITOA MAPEPO NA MAJINI YALIYOWATESA WANA WA MUNGU.
Read moreMAELEZO YA YOUTUBE: MAFUNDISHO YA NABII HEBRON – (WATAMBUE WANYANG’ANYI MAKANISANI)
BWANA YESU asifiwe ndugu mtazamaji na msikilizaji, karibu tena kwenye kipindi cha Mtume na Nabii Hebron. Siku ya leo nitakwenda kufundisha somo kuhusu”mtumishi ni nani na mnyang’anyi ni nani “. Kwanini YESU alisema watokeao nje ni wanyang’anyi na...
Read moreMAELEZO YA YOUTUBE: CHRISTMAS TREE NA FATHER CHRISTMAS NI MACHUKIZO MBELE ZA MUNGU.
Watoto wa MUNGU jambo lingine ambalo nitakuja kuongea katika kitu kinachoitwa Christmas tree ni nini na asili yake ni nini. Napenda kukuuliza kwanza ndugu msikilizaji, Biblia imeandika Christmas tree? Christmas ni nini? Christmas ni birthday ya...
Read moreJINSI NABII HEBRON ALIVYOITIKISA KUZIMU NA KUMTOA ALIYEKUWA NAMBA TATU KUTOKA UFALME WA SHETANI!
Nabii Hebron: BWANA YESU asifiwe, ndugu mtazamaji na mtazamaji na mtoto wa MUNGU na mwanadamu uliyeumbwa na MUNGU, siku ya leo ninayo habari njema ambayo ninakuletea kwa njia ya shuhuda ambayo ni mtoto ambaye aliyekuwa kuzimu na ambaye...
Read moreJE UNAFAHAMU WATUMISHI WENGI WA KANISA LA SASA WANAVAA MAVAZI YA MAAGANO YA KUZIMU? SOMA HAPA UYAJUE NA UTAWAJUA WATUMISHI WA KISHETANI!!!
Somo hili nimeamua kulitoa wazi wazi ili watu mpone imani zenu sababu wapo watumishi ambao kwa majina kama nabii, mchungaji, mwalimu, mwinjilisti, mtume na wana makanisa na wanatumia jina la YESU vile vile lakini watu hamjaweza kuelewa ni wa...
Read moreJE UNAJUA NI KWA NINI SHETANI AMEWATEKA WAKRISTO FAHAMU ZAO NA WAKABATIZA WATOTO WADOGO AU WACHANGA? SOMA…..
Kila mtu anampenda MUNGU na watu waliosikia habari za YESU na kila anachokitaka kifuatwe ili uwe wakristo watu hupenda. Ila shetani amewateka watu akishirikiana na mpinga kristo, sababu anajua ubatizo ni point muhimu sana ya kufanya mtu awe...
Read moreJE UNAJUA KUSUDI LA SHETANI AMBALO MCHUNGAJI ANABATIZA KWA JINA LAKE?
Nawasalimu kwa jina la YESU WA NAZARETI aliye hai na aliye ndiye kweli milele, leo nawafundisha na kuifichua uovu wa wachungaji ambao wanawabatiza watu kwa majina yao. Swali la kwanza ndugu msomaji soma biblia yote, haijaruhusu watu wabatizwe kwa...
Read moreNINI MAANA YA UBATIZO WA KISIMA (SWIMMING POOL)??
Ubatizo huu unaofanya watu wengi waone wamebatizwa yaani kuzamishwa kama vile YESU alivyoamuru lakini matokeo yake ni feki bado mtu anakuwa hajabatizwa kabisa, sababu ya kwanza maji hayatembei (siyo kijito cha utakaso) na pili hairuhusiwi kabisa...
Read moreNINI MAANA YA UBATIZO WA MAJI YA KIKOMBE?
Ubatizo huu ni agano la kikombe cha shetani, ubatizo huu ni kifungo cha kuwapeleka watu kwa sheyani, kivipi? Fuatilia Makala ya Nabii Hebron na somo hili pia. Neno ubatizo maana yake (baptize) ni kuzamisha. Na inavyoitwa ni ubatizo wa kikombe au...
Read moreJE UNAJUA SURA YA JOKA KUU?! JOKA KUU SURA YAKE IPO HIVI….
Ufunuo wa Yohana 20:1-3 “1kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, mwenye ufunguo wa kuzimu, na mnyororo mkubwa mkononi mwake. 2Akamshika yule joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ni Ibilisi na shetani, akamfunga miaka elfu. 3Akamtupa katika...
Read more