PEPO KANISA

[ad_1] MATHAYO 24: 4-5, 22-28 BWANA YESU ASIFIWE, watoto wa MUNGU, YESU WA NAZARETI anawapenda sana na amenituma niwafundishe kuhusu ukweli wake na kuwaonyesha njia ipasavyo ambaye yeye peke yake ndio njia ya kweli na mtu akifuata njia nyingine...

PEPO MSALABA

[ad_1] Katika ulimwengu huu, tunajua kabisa asili ya msalaba ilitumiwa zamani hizo katika uyahudi na misri pale mtu anapokosea atauliwa na katika kumuua mtu kitu kilichotumika ni msalaba, sasa hata YESU WA NAZARETI alipokufa pale msalabani au...

PEPO IMANI

[ad_1] Pepo imani linaitwa pepo imani sababu imani hii ni yeye ndiye muasisi, pepo huyu hutoka kuzimu katika serikali ya joka kuu. Kama vile MUNGU mbinguni alivyo na utatu mtakatifu, hivyo hivyo na shetani anao utatu mchafu. Nitaelezea katika...

UNYAKUO WA SHETANI NI UPI?

[ad_1] Ufunuo 20:7-15 Maana ya unyakuo wa shetani hii inakuwa ni kinyume chake, badala ya kunyakuliwa ni kudondoshwa kuzimu katika ziwa la moto, katika tendo hili litatokea baada ya vita vya Gogu na magogu kutokea ambayo vitakuwa ni vita ambavyo...