KITABU: LIJUE KANISA ALILOLIJENGA YESU KRISTO WA NAZARETI ALIVYOKUWEPO HAPA ULIMWENGUNI
TOLEO LA SABA ISBN 978 – 9987- 9553-6-7 EMAIL: [email protected] WEBSITE: www.prophethebron.org BLOG: …
READ MOREambaye ndiye Bwana na Mwokozi wa Mataifa yote, pia ndiye Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana na hapana Mfalme mwingine zaidi yake. Mimi jina langu naitwa Hebron Wilson Kisamo, ...
Soma ZaidiHebron Wilson Kisamo

Mimi jina langu naitwa Hebron Wilson Kisamo, YESU amenichagua nimtumikie yeye kwa jinsi anavyotaka yeye ili kukomboa ulimwengu huu ambao umepotea na shetani ameumiliki kwa asilimia 98% sawa sawa na YESU alivyonambia mwenyewe.
Amenituma ulimwengu wote ikiwa inamaana nchi zote, mabara yote. Ujumbe huu aliniagiza rasmi na kunipa mamlaka yake tarehe 14.06.2010. Na akanipa jina la Kanisa lake nilite YESU NI BWANA NA MWOKOZI WA MATAIFA YOTE INTERNATIONAL MINISTRY.

Ndugu msomaji usiogope, huu ndio ukweli halisi alioniambia mwenye kanisa, yaani YESU. Mengi utayakuta kwenye vitabu nilivyoviandika, CD na DVD. Hakika utafunguka ufahamu wako utajua jinsi KANISA lilivyotekwa na shetani. Na zaidi, YESU alipokuwa akinifundisha, alinionyesha na kunifunulia ulimwengu wote, jinsi ulivyo kwa sasa, akasema watumishi ndio wanatumiwa 98% kuliharibu KANISA. Kwa mfano aliniambia, idadi kubwa ya watumishi wakubwa ulimwenguni ni member wa freemason, akaniambia hao sio watumishi wake.
Haijalishi wanalitumia jina lake, hao ni manabii wa uwongo, na asili yao ni manabii wa uwongo, na mengine mengi utayakuta huku kwenye website na kwnye blog; YESU ameshuka Tanzania kupitia watu wake ila wale waovu wataangamia tu, shimo la moto linawasubiri. Kuzimu nimeshafunga milango ambayo watumishi na wachawi waliyokuwa wanapitia kwenda kuchukua nguvu hamna tena na hawana msaada tena. Mwisho wao umefika. Na sasa utukufu wa KANISA la mwisho umetimia, kuzimu haina nguvu na hawaliwezi KANISA LA YESU NI BWANA NA MWOKOZI WA MATAIFA YOTE. YESU aliponipa ujumbe huu, nilikuwa kazini Serengeti katika kazi niliyokuwa nafanya ya utalii (Professional Driver Guide), niliogopa sana maana sikuwahi kumuona YESU “live live”. Siyo kitu cha kawaida, ukuu wake unatisha. Mengi utayakuta ndani ya website hii na nitaendelea na kila ujumbe anaonipa kukufikishia wewe kwa njia hii. Ufunuo wa Yohana 1:8
KUMBUKA, HUDUMA YA MAOMBI NA UPONYAJI NI BURE (Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma,toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.
Mathayo 10:8)

Ibada ya ukombozi

Ibada ya Majibu
Ibada ya Siku ya Bwana

TOLEO LA SABA ISBN 978 – 9987- 9553-6-7 EMAIL: [email protected] WEBSITE: www.prophethebron.org BLOG: …
READ MORE
TOLEO LA SITA ISBN 978 – 9987- 9553-7- 4 MTUME NA NABII- HEBRON WILSON KISAMO KIONGOZI NA MWANZILISHI WA HUDUMA KANISA…
READ MORE
MJUE YESU KRISTO WA KWELI NA YESU KRISTO WA UONGO Ndugu msomaji na mwanadam yeyote wa taifa lolote kwa rangi yoyote na j…
READ MORENdugu msomaji wa blog hii, nakusalimu katika jina la YESU KRISTO ambaye ni BWANA na mwokozi wa mataifa yote. Kwanza kabi…
READ MORE